MALKIA WA USHUHUDA DR TUMAIN MSOWOYA AWAGUSA WENGI

MALKIA WA USHUHUDA DR TUMAIN MSOWOYA AWAGUSA WENGI
Mariam kilyenyi amtaja Dr Tumaini msowoya kama Malkia wa ushuhuda Tanzania asema nyimbo zake na harakati zake Dr Tumaini zimejaaa ushuhuda mwingi ambao umegusa watanzania wengi
Pichani akionekana MWIMBAJI MARIAM KILYENYI akiwa na DR TUMAIN MSOWOYA katika hafla fupi ya kuwania tuzo.
Kwa ufupi: MWIMBAJI MARIAM KILYINYI ni MWIMBAJI anaye sifika kwa. Jina la MAMA WA UPENDO
Kutokana na kawaidayake ya kuwapenda na kuwapa ushilikiano Mkubwa waimbaji wenzake na sasa MWIMBAJI huyu anakaribia kuzindua album yake Mpya tarehe 02/mwezi 12 /mwahahuu 2018 dani ya kanisa la KKKT SINZA jiji la dar es salama na inataraji kuwa siku kubwa na ya kipekee kutokana na upendo wake kwa waimbaji wenzake
watu mashuhuri kutoka nje na ndani ya nchi wameendelee kudhibitisha kuwepo sikuhiyo ikiwemo UTUKUFU LABEL kutoka nchini ZAMBIA ambapo ndani yake kuna waimbaji kutoka KENYA, NIGERIA, na AFRICA YA KUSINI

Maoni